Ada Za Lipa Kwa M-Pesa, Makato ya Lipa Kwa M-Pesa

Filed in Makala by on April 20, 2025 1 Comment

     

Ada Za Lipa Kwa M-Pesa, Makato ya Lipa Kwa M-Pesa

Ada Za Lipa Kwa M-Pesa, Makato ya Lipa Kwa M-Pesa

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Ada Za Lipa Kwa M-Pesa, Makato ya Lipa Kwa M-Pesa

LIPA kwa Simu au LIPA kwa M-pesa ni huduma ya kisasa na jumuishi ya mfumo wa malipo utakao wezesha Makampuni, Mawakala wa jumla na rejareja na Wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia M-PESA.

Huduma hii ya LIPA kwa Simu imekuja ili kuboresha mazingira ya Wafanyabiashara na Makampuni kwa kupanua mbinu za malipo kutoka kwa wafanyabiashara na Makampuni na Wauzaji wa aina mbalimbali.

Mawakala wa jumla na rejareja wataweza kununua na kulipia bidhaaa zao kwa kutumia huduma hii ya LIPA KWA M-PESA au LIPA KWA SIMU, Njia hii ni ya haraka, salama na inampa mteja wepesi zaidi wa kufanya biashara.

Mfanyabiashara atakuwa na Lipa namba na QR code ambazo zitaruhusu wateja kulipia bidhaa kwa kuingiza Lipa namba au kuskani picha ya QR.

Lipa Kwa Simu imewawezesha wateja wa mitandao na benki zote kufikia malipo kwa urahisi, usalama ukilinganisha na fedha taslimu ambazo ni za gharama na hatari ndiyo maana tunasema M-Pesa nyumbani kwa malipo ya kidijitali.

Kwa kutumia msimbo wa QR ulioboreshwa ambao hurahisisha matumizi ya malipo zaidi kwa kuondoa hitaji la kuandika hadi nambari katika sehemu za kugusa rejareja.

Lipa Kwa Simu inaweza kutumika katika maduka mbalimbali katika mtaa wako k.m. migahawa, maduka ya rejareja, vituo vya mafuta, saluni, baa, maduka makubwa, maduka ya vifaa vya ujenzi, maduka ya dawa na maduka mengine yoyote.

Kwa msaada piga 100/101, WhatsApp 0754100100 au tuma barua pepe kwa support@vodacom.co.tz

MAKATO ya Lipa Kwa M-pesa, Ada za Lipa Kwa Simu

Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa katika huduma ya LIPA KWA M-PESA utatozwa ada ndogo ya 0.5% ya kiasi unacholipa kwa malipo yote ya hadi Tsh 1,500,000/=.

Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga namba 100 bure.

Amount From (Tsh) Amount To (Tsh) Fees (Tsh)
100 999 20
1,000 1,999 50
2,000 2,999 70
3,000 3,999 100
4,000 4,999 200
5,000 6,999 300
7,000 9,999 500
10,000 14,999 700
15,000 19,999 850
20,000 29,999 920
30,000 39,999 1,000
40,000 49,999 1,200
50,000 99,999 1,700
100,000 199,999 2,000
200,000 299,999 2,600
300,000 399,999 3,000
400,000 499,999 3,300
500,000 599,999 4,500
600,000 699,999 5,500
700,000 799,999 5,700
800,000 899,999 6,000
900,000 1,000,000 6,000
1,000,001 3,000,000 6,000
3,000,001 10,000,000 6,000

Ikiwa unahitaji Lipa number kwaajili ya Biashara yako tutumie ujumbe WhatsApp namba 0756658100 tukutengenezee na huduma hii ni Bure.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: , ,

About the Author ()

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Petro Lima says:

    Asanteni kwa huduma hii safi na salama kwa wafanya biashara

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *