Makala

Makala

MASWALI ya Usaili Kada ya Afisa Mazingira

Filed in Makala, Usaili by on May 15, 2025 0 Comments
MASWALI ya Usaili Kada ya Afisa Mazingira

MASWALI ya Usaili Kada ya Afisa Mazingira Kupitia Makala hii, utaweza Kufahamu maswali yanayoulizwa mara Kwa mara kwenye Usaili wa Afisa Mazingira. Afisa mazingira analo jukumu muhimu katika kulinda na kudumisha mazingira yetu, hapa chini kuna baadhi ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu jukumu hili muhimu katika Jamii. Maswali haya yanaonyesha umuhimu wa kazi […]

Continue Reading »

SAMPLE ya Barua ya Maombi ya Kujiunga na JWTZ

Filed in Makala by on May 13, 2025 11 Comments
SAMPLE ya Barua ya Maombi ya Kujiunga na JWTZ

SAMPLE ya Barua ya Maombi ya Kujiunga na JWTZ, Mfano wa Barua ya Maombi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ. April 30, 2025 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limetangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania Wenye Elimu ya Kidato cha Nne hadi Elimu ya Juu. Kupitia Makala hii […]

Continue Reading »

MISHAHARA ya Watumishi wa Serikali Tanzania

Filed in Makala by on May 13, 2025 0 Comments
MISHAHARA ya Watumishi wa Serikali Tanzania

MISHAHARA ya Watumishi wa Serikali Tanzania Serikali inaendelea kutekeleza Sera ya malipo ya Mshahara na Motisha katika Utumishi wa Umma ya Mwaka 2025. Katika hatua za kutimiza malengo ya Sera hii, Serikali imefanya marekebisho ya mishahara ya watumishi wake kuanzia tarehe 1 Julai, 2025 Kufuatia marekebisho hayo, kima cha chini cha mshahara kimeongezwa kwa asilimia […]

Continue Reading »

Mishahara ya TRA, Viwango vya Mishahara ya TRA

Filed in Makala by on May 13, 2025 0 Comments
Mishahara ya TRA, Viwango vya Mishahara ya TRA

Mishahara ya TRA, Viwango vya Mishahara ya TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ni taasisi muhimu nchini Tanzania, inayohusika na ukusanyaji wa mapato ya serikali. Ili kuhakikisha uwazi na usawa katika malipo, TRA imeweka viwango maalum vya mishahara kwa wafanyakazi wake. Hapa chini tumekuwekea Orodha ya Viwango vya Mishahara TRA, TRA salary scale kuendana na […]

Continue Reading »

VIWANGO vya Mishahara ya Watumishi wa Serikali

Filed in Makala by on May 13, 2025 1 Comment
VIWANGO vya Mishahara ya Watumishi wa Serikali

VIWANGO vya Mishahara ya Watumishi wa Serikali Mishahara ya WATUMISHI wa Serikali ya Tanzania,Tanzania Government Public Servant Salary Scales, New pay scales were established by the government, Viwango vya Mishahara ya Watumishi Serikalini. Mfumo wa malipo pamoja na madaraja Utumishi, kupitia Makala hii utaweza kuona viwango vya malipo kwa kila daraja ambavyo huamuliwa na serikali […]

Continue Reading »

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Walimu

Filed in Makala by on May 13, 2025 0 Comments
VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Walimu

VIWANGO Vipya Vya Mishahara ya Walimu Tume ya Utumishi wa Umma (Public Service Commission) ndiyo husimamia viwango vya mishahara ya Watumishi wa Umma, ikiwemo Kada ya Ualimu. Kila mwaka, viwango hivi vya mishahara hubadilishwa ili kukabiliana na changamoto za kiuchumi, mfumuko wa bei, na sera za serikali kuhusu maslahi ya watumishi. Hii inamaamisha kwamba mishahara […]

Continue Reading »

TAMISEMI Mfumo Wa Maombi Ya Ajira Ya Kujitolea/Mkataba

Filed in Elimu, Makala by on May 12, 2025 6 Comments
TAMISEMI Mfumo Wa Maombi Ya Ajira Ya Kujitolea/Mkataba

TAMISEMI Mfumo Wa Maombi Ya Ajira Ya Kujitolea/Mkataba Mpango huu unalenga kutumia wafanyakazi wenye ujuzi kwa kuweka wafanyakazi wa kujitolea katika sekta kama vile afya, elimu, kilimo, na utawala wa serikali za mitaa. Wafanyakazi wa kujitolea hawatapata tu uzoefu muhimu wa kazi lakini pia watasaidia huduma muhimu za umma, hasa katika maeneo ambayo hayajahudumiwa. Waombaji […]

Continue Reading »

SAMPLE ya Barua ya Kuomba Kazi NMB Bank

Filed in Makala by on May 10, 2025 0 Comments
SAMPLE ya Barua ya Kuomba Kazi NMB Bank

SAMPLE ya Barua ya Kuomba Kazi NMB Bank, Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi Katika NMB Bank PLC Katika Makala hii utaweza kujifunza namna ya kuandika barua ya kuomba Kazi katika Benki ya NMB Tanzania. Katika maelekezo tuliyokuwekea hapa chini hakikisha unabadilisha sehemu zilizowekwa kwenye mabano na kuongeza maelezo yako mwenyewe ili kuifanya barua iwe […]

Continue Reading »

MASWALI ya Usaili Ajira za NMB Bank

Filed in Makala by on May 10, 2025 0 Comments
MASWALI ya Usaili Ajira za NMB Bank

MASWALI ya Usaili Ajira za NMB Bank Benki ya NMB Plc. ni benki ya biashara nchini Tanzania, ambayo imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania , benki kuu na mdhibiti wa benki wa kitaifa. Endapo unajiandaa kwa usaili wa ajira katika Benki ya NMB Tanzania, ni muhimu kuelewa aina ya maswali yanayoulizwa mara Kwa mara […]

Continue Reading »

JINSI ya Kuangalia Bima ya Gari kwa Kutumia Simu yako

Filed in Makala by on May 7, 2025 0 Comments
JINSI ya Kuangalia Bima ya Gari kwa Kutumia Simu yako

JINSI ya Kuangalia Bima ya Gari kwa Kutumia Simu yako TIRA (Tanzania Insurance Regularatory Authority) ni taasisi inayo husika na BIMA zote za Tanzania. Taasisi hii imeundwa mwaka 2009 kwa lengo la kusimamia mawakala wa Bima kufanya kazi kwa viwango vinavyo takiwa. Kwa upande wa magari kuna Bima aina mbili ambazo ni third party na […]

Continue Reading »