JINSI ya Kurudisha Akaunti yako ya Ajira Portal
JINSI ya Kurudisha Akaunti yako ya Ajira Portal
- Tembelea Tovuti ya Ajira Portal kwenye link https://www.ajira.go.tz.
- Nenda Sehemu ya kulogin, mara nyingi inakuwa imeandikwa Log in au Sign In.
- Tafuta sehemu imeandikwa Forgot Password.
- Ikiwa umesahau neno la siri lako, tafuta sehemu iliyoandikwa Forgot Password au Reset Password.
- Jaza barua Pepe au Jina la mtumiaji (email).
- Utatakiwa kuingiza barua pepe au jina la mtumiaji ambalo lilikuwa linatumika kwenye akaunti yako.
- Utapokea email ya kurejesha Neno lako la siri.
- Email hiyo itakuwa na maelekezo ya jinsi ya kuweka upya neno la siri.
- Fuata maelekezo yaliyotolewa katika barua pepe hiyo ili kuweka upya neno la siri lako.
- Jaza neno la siri Jipya.
- Baada ya kuweka upya nenosiri, utakuwa na uwezo wa kuingia tena kwenye akaunti yako kwa kutumia nenosiri jipya.
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.
