JINSI ya Kutuma Maombi JWTZ 2025

Filed in Makala by on April 30, 2025 17 Comments
     
JINSI ya Kutuma Maombi JWTZ 2025

JINSI ya Kutuma Maombi JWTZ 2025

JINSI ya Kutuma Maombi JWTZ 2025, Jinsi ha Kutuma Maombi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

April 30, 2025 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limetangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa kitanzania wenye Elimu ya kidato cha nne hadi Elimu ya Juu.

UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI KWA MAKUNDI YOTE MAWILI 2025
Maombi yote yaandikwe kwa mkono na yawasilishwe Makao Makuu ya Jeshi Dodoma kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 hadi tarahe 14 Mei, 2025 yakiwa na viambatisho vifuatavyo:-

  • Nakala ya Kitambulisho cha Taifa au nambari ya NIDA.
  • Nakala ya cheti cha kuzaliwa, vyeti vya Shule na Chuo.
  • Nakala ya cheti cha JKT kwa waombaji waliomaliza mkataba wa kujitolea.
  • Nambari ya simu ya mkononi ya mwombaji.

MAOMBI YATUMWE KWA ANUANI IFUATAYO
Mkuu wa Utumishi Jeshini,
Makao Makuu ya Jeshi,
Sanduku la Posta 194,
DODOMA, Tanzania

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: ,

About the Author ()

Comments (17)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Naitaji kujitolea kwa ajir ya inch yangu

  2. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.

  3. Nipo tayari kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.

  4. Emanuel Godfrey msuya says:

    Namn ya kutuma maomb jwtz

  5. Emmac Chacha says:

    Naomba kujiunga na jeshi Kwa sababu Kila kitu ninacho ila nashndwa jinsi ya kutuma maombi ya moja Kwa Mona

  6. Haidari Mohamed ngenje says:

    Nahitaji kujiunga na jeshi la wananchi wa Tanzania maan nahitaji kulipambania taifa langu mpaka kifo

  7. Rodrick says:

    Nawezaje kutuma maombi kweny jwtz

  8. BABU says:

    USHINDI WA PAMOJA NDIYO USHINDI WENYE NGUVU NA AMANI PIA UPENDO

  9. Emmanuel says:

    Nip tayari kujiunga na jeshi

  10. Naomba mnipe nafasi ya kujiunga na jeshi la wananchi Tanzania kwa lengo la kuilinda nchi yangu

  11. Naomba nafasi ya kujiunga na jeshi la wananchi Tanzania

  12. Naahidi kulipambania jeshi la nchi yangu kwa moyo mmoja naombn nafasi

  13. japhet emanuel mtenga says:

    mm japhet emanuel mtenga kijana wa miaka kumi na tisa mkazi mlandizi-kibaha nipo teyar kwa lolote kwa ajiri ya nchi na mali zake wako mjenzi wa taifa la kesho

  14. Charles says:

    Namna ya kutuma maombi ya kujiunga na jeshi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!