KIKOSI Cha Simba vs Kengold FC Leo 18 June 2025

KIKOSI Cha Simba vs Kengold FC Leo 18 June 2025
KIKOSI Cha Simba vs Kengold FC Leo 18 June 2025
Klabu ya Simba SC itacheza na Kengold FC Katika mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC raindi ya 29.
Mchezo huo utapigwa Leo tarehe 18 June 2025 kwenye Uwanja wa Alli Hassan Mwinyi, Jijini Tanga Kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Hiki hapa Kikosi Cha Simba kinachoanza dhidi ya Kengold FC Leo tarehe 18 June, 2025.
1:Moussa Camara
2:Shomari Kapombe
3: Mohamed Hussein (C)
4:Che Fondoh Malone
5:Chamou Karaboue
6:Yusuph Kagoma
7:Kibu Denis
8:Debora Fernandes
9:Leonel Ateba
10:Jean Charles Ahoua
11:Elie Mpanzu

KIKOSI Cha Simba vs Kengold FC Leo 18 June 2025
TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
