Kuitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Mlimba District Council

Kuitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Mlimba District Council
Kuitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Mlimba District Council
Afisa Mwandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Jimbo la Mlimba anapenda Kuwatangazia Waombaji wote wa Nafasi ya Mwandikishaji Msaidizi na Mwendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki walioorodheshwa Kwenye tangazo hili Kuwa, Usaili wa nafasi hizo utafanyika tarehe 13/02/2025 Kuanzia Saa 3:30 asubuhi Katika Ukumbi w Shule ya Sekondari Nakaguru Kwa Wale Wanaotoka Kata Za Idete, Namwawala, Mofu, Mbingu, Igima, Mchombe, Mngeta, Chita Na Ching’anda na Ukumbi wa Mlimba Day kwa Waombaji wanaotoka Kata za Chisano, Kalengakelu, Mlimba, Kamwene, Utengule, Masagati Na Uchindile.
Maelezo Ya Jumla;-
- Kila msailiwa anatakiwa kuja na Simu Janja (Smart Phone).
- Kila Msailiwa Anapaswa Kuwa Na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi.
- Vitambulisho Vinavyokubalika Ni Pamoja Na Kitambulisho Cha Mpiga Kura, Kitambulisho Cha Uraia, Hati Ya Kusafiria Na Kitambulisho Cha Kazi.
- Wasailiwa Wanaelekezwa Kufika Na Vyeti Vyao Halisi Kuanzia Cheti Cha Kuzaliwa, Kidato Cha Nne, Kidato Cha Sita, Stashahada, Shahada NK.
BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Kuitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Mlimba District Council