KUNDI la Tanzania AFCON 2025 Morocco

Filed in Michezo by on January 27, 2025 0 Comments
     
KUNDI la Tanzania AFCON 2025 Morocco

KUNDI la Tanzania AFCON 2025 Morocco

KUNDI la Tanzania AFCON 2025 Morocco

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Shirikisho la soka Afrika (CAF) leo January 27 limechezesha droo ya kupanga Makundi ya michuano ya AFCON 2025 itakayofanyika nchini Morocco mwezi Kuanzia tarehe 21 December 2025 hadi hadi 18 January 2026

Tanzania imepangwa Kundi C na Mataifa ya Tunisia, Uganda na Nigeria ambao ni Mabingwa mara tatu wa michuano hiyo.

Hii ni AFCON ya pili mfululizo kwa Tanzania kushiriki ya nne katika historia yake ya Soka.

Droo hiyo imefanyika jijini Rabat nchini Morocco.

Group C
Nigeria
Tunisia
Uganda
Tanzania

Tanzania Yapangwa Kundi C AFCON 2025

Tanzania Yapangwa Kundi C AFCON 2025

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!