MAGAZETI ya Leo Alhamisi 03 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 2, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 03 April 2025

Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ametangaza kuwa zoezi la kubadilisha tahasusi (combination) kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na vyuo limeanza rasmi Machi 31, mwaka 2025 hadi Aprili, 30, mwaka 2025.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mbali na hilo, amesema kuwa baada ya matokeo ya kujiunga na kidato cha tano na vyuo kutangazwa, ofisi haitashughulikia changamoto hizo kwa kuwa fursa ya kufanya mabadiliko hayo imeshatolewa.

Kwa mwaka wa kwanza Serikali inakwenda kufundisha tahasusi mpya zilizoanzishwa mara baada ya kufanyika marekebisho kwa mtalaa, uliokwenda sambamba kuboresha Serikali ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014.

Sera hiyo ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 ilizinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Februari Mosi mwaka 2025, ambayo inalenga katika kuyapa kipaumbele mafunzo ya amali nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Jumatatu, Aprili 2, 2025, Mchengerwa amesema kuwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2024 wanayo fursa ya kubadilisha machaguo ya tahasusi za kidato cha tano na vyuo vya kati na elimu ya ufundi kwenye mfumo wa kielektroniki wa uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha tano na vyuo.

KUBADILISHA MACHAGUO BONYEZA HAPA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *