MAGAZETI ya Leo Alhamisi 10 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 10, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 10 April 2025

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Uhima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania umefikia asilimia 55.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

“Serikali tayari imeshachangia mtaji wa Dola376 milioni sawa na asilimia 15 ya hisa kupitia mradi huo jumla ya ajira 6,610 zimeshaanza kuzalishwa ,” amesema Majaliwa.

Majaliwa ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma Jumatano, Aprili 9, 2025, wakati akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2025-2026.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *