MAGAZETI Ya Leo Alhamisi tarehe 19 June 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on June 19, 2025 0 Comments
     
MAGAZETI Ya Leo Alhamisi tarehe 19 June 2025

MAGAZETI Ya Leo Alhamisi tarehe 19 June 2025

MAGAZETI Ya Leo Alhamisi tarehe 19 June 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimetaja changamoto kadhaa wanazokabiliana nazo ikigusia uhaba wa watumishi, mifumo kutosomana, mgawanyo na utekelezwaji wa majukumu.

Akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Tibal linalokwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 60 ya chama hicho, Rais wa MAT, Dk Mugisha Nkoronko amesema kuwa Wizara ya Tamisemi na Wizara ya Afya kuna mgawanyo wa majukumu ambao unasumbua, hivyo MAT inashauri kuwe na muundo utakaowezesha zisomane.

Pia ameshauri uwekezaji ufanyike katika eneo la watumishi wa afya ili kuondoa upungufu uliopo wa asilimia 55.

Pamoja na hayo MAT imesema kuwa kuna shida na wasiwasi katika utekelezaji wa bima ya afya kwa wote, huku ikipongeza juhudi zilizofanyika, hata hivyo wamesema jitihada zaidi zinahitajika.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *