MAGAZETI ya Leo Jumamosi 26 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 26, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumamosi 26 April 2025

Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imetinga fainali Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuiondosha Al Ahly ya Misri kwa sare ya bao 1-1 ugenini.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mamelodi imejikatia tiketi kwa kwa faida ya bao la ugenini kwani mechi ya kwanza Afrika Kusini ilimalizika kwa suluhu.

Mamelodi Sasa itakutana na Pyramid ya Misri katika mchezo wa Fainali ya CAF Champions League 2024/2025.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *