MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 21 June 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on June 21, 2025 0 Comments
     
MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 21 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 21 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumamosi tarehe 21 June 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mkazi wa Kijiji cha Mungushi, Wilaya ya Hai, Mary Mushi mwenye umri wa miaka 26 anadaiwa kuwaua watoto wake wawili, mmoja mwenye umri wa miaka minne na mwingine wa miezi sita, kisha kujaribu kujiua kwa kujijeruhi, katika tukio la kusikitisha linalodaiwa kusababishwa na mgogoro wa kifamilia.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Abel Mtagwa, amethibitisha kutokea tukio hilo leo mchana, Juni 20, 2025, na kusema kuwa uchunguzi umeanza ili kubaini chanzo cha tukio hilo.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *