MAGAZETI ya Leo Jumanne 01 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 1, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumanne 01 April 2025

Klabu ya Simba imempongeza Rais wa heshema, Mohammed Dewji ambaye pia ni Mwekezaji wa klabu kwa kutajwa na jarida la Forbes kuwa tajiri wa 12 barani Afrika

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Simba imempongeza Mo Dewji baada ya utajiri wake kupanda kutoka USD 1.8 Bilioni hadi USD 2.2 Bilioni

Jarida la Forbes hufanya utafiti kila mwaka na hutoa orodha ya Wafanyabiashara wenye ‘ukwasi’ na thamani ya utajiri wao.

Mo ameendelea kutajwa na jarida hilo kila mwaka sasa akiingia katika orodha ya matajiri 15 wenye ukwasi mkubwa zaidi barani Afrika.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *