MAGAZETI ya Leo Jumanne 06 May 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on May 6, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumanne 06 May 2025

Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa mechi ya marudiano ya Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar Es Salaam.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amethibitisha kuwa Fainali ya Simba na RS Berkane itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi bungeni Jumatatu Mei 5, 2025, Naibu Waziri huyo amesema kila kitu kimekaa sawa na tayari ameshazungumza na viongozi juu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) akiwamo rais Patrice Motsepe.

“Nataka kuwahakikishia kuwa, Fainali hiyo itapigwa katika uwanja wa Mkapa na hakuna namna nyingine. Tumeajili Mkandarasi kwa dharura na jana usiku nimeongea na Motsepe na kukubaliana kuwa Fainali itapigwa hapo,”amesema Mwinjuma.

Simba itakutana na RS Berkane ya Morocco Katika mchezo wa Fainali, huku mechi ya kwanza ikichezwa Morocco May 17 na mechi ya Fainali ya Pili itachezwa May 25,2025 hapa hapa Tanzania.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!