MAGAZETI ya Leo Jumanne 10 June 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on June 10, 2025 0 Comments
MAGAZETI ya Leo Jumanne 10 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 10 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumanne 10 June 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi kuu nchini Tanzania “Almas Kasongo” amesema kuwa kikao cha leo kilikuwa ni kikao cha kupokea matakwa ya Yanga Sc ambao wamekuja na matakwa manne ikiwa ni kujiuzulu kwa Mwenyeketi wa bodi ya ligi, kujiuzulu kwa Afisa Mtendaji mkuu wa Tplb, Katibu mkuu wa Tff na kuona bodi ya ligi kuu inakuwa chombo huru.

Hivyo basi matakwa hayo yamepokewa na yatawasilishwa kwa shirikisho la soka nchini “Tff” ila kwa mamlaka ya bodi ya ligi mpaka sasa ni Mchezo upo pale pale juni 15.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Hello Casino

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *