MAGAZETI ya Leo Jumanne 22 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 22, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumanne 22 April 2025

Rais wa heshima na mwekezaji wa Simba SC Mohamed Dewji ametumia ukurasa wake wa Instagram kumkingia kifua kiungo mshambuliaji Jean Cherles Ahoua kufuatia kukosa bao la wazi
katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrka Kusini jana Jumapili visiwani Zanzibar.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mo Dewji ameandika: Wanasimba,

Jean-Charles Ahoua ni mmoja wa wachezaji waliotupa sababu nyingi za kushangilia msimu huu, licha ya vyote amekuwa sehemu ya mafanikio yetu.

Kwa kosa moja lilitokea tunaweza kumsema vibaya leo, ila tukumbuke: hata mastaa wa dunia kama Fernando Torres waliwahi kukosa magoli ya wazi — kwenye mechi kubwa kama Chelsea dhidi ya Manchester United. Hii ni soka. Haya ni mambo ya kawaida kwenye mchezo huu.

Lakini jambo kubwa zaidi ni namna tunavyochagua kusimama baada ya kila tukio. Tunajifunza, tunaimarika, na tunaendelea kupambana.

Mchezo wetu dhidi ya Stellenbosch bado uko mbele. Safari haijaisha. Na huu si wakati wa kulaumiana — ni wakati wa kuungana na kua kitu Kimora.

Simba inajengwa juu ya mshikamano. Tunasimama na Jean-Charles. Tunasimama na kila mchezaji anayejitoa kwa jezi hii. Na tunaendelea na vita iliyokua mbele yetu.

Simba ni familia. Simba ni nguvu moja.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *