MAGAZETI ya Leo Jumapili 11 May 2025
MAGAZETI ya Leo Jumapili 11 May 2025
Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) ambaye pia ni Rais wa Makampuni ya GSM katika mahojiano maalum na Mtangazaji Salama Jabir, amesema moja ya mbinu zake za kufanikiwa ni kutokuogopa kuwekeza sehemu ambazo wengine wameziogopa.
Alipoulizwa kuwa yeye ni Boss wa aina gani, Ghalib ameleza yafuatayo “mimi ni Mtu ambaye na-take risk, ninajaribu biashara ambayo nikiona naweza kufanikiwa naingia tofauti na Watu wengi ambao wanaogopa kuingia kwenye biashara”
TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.
