MAGAZETI ya Leo Jumapili 20 April 2025

Filed in Magazeti by on April 20, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumapili 20 April 2025

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amezungumza kwa tahadhari kubwa kuelekea mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, Aprili 20, 2025, akieleza kuwa wapinzani wao ni timu iliyo bora kiufundi, kimfumo na kiuchumi.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Davids amewasifu Stellenbosch kama klabu iliyopangika vizuri kuanzia juu hadi chini na inayojulikana kwa kuibua vipaji chipukizi licha ya kuuza wachezaji wao bora mara kwa mara.

“Ni klabu yenye nidhamu ya hali ya juu, wanauza wachezaji bora lakini bado wanaendelea kusajili vipaji vijana. Ni timu hatari ambayo hatuwezi kuichukulia poa hata kidogo,” amesema Fadlu.

Kocha huyo amesema kila timu iliyofika hatua ya nusu fainali inastahili kuheshimiwa, na hivyo Simba inajiandaa kwa umakini mkubwa kuhakikisha wanafuzu kwenda fainali.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *