MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on May 25, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025

Klabu ya Yanga imetangaza kuachana rasmi na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wake, Stephane Aziz Ki ambaye amesajili na Wydad Athletic ya Morocco.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kiungo huyo anaondoka Young Africans akiwa ameacha historia kubwa baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka mitatu akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast.

Aziz Ki alicheza mechi yake ya mwisho Yanga na kupewa heshima ya kuwa nahodha mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, GROUP NO 2 HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *