MAGAZETI ya Leo Jumatano 07 May 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on May 6, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumatano 07 May 2025

Taarifa za uhakika ni kuwa Simba iko katika mchakato wa kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Azam Fc, Feisal Salum ‘Fei Toto’

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Inaelezwa kuwa juzi Rais wa heshima wa Simba Bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ alifanya mazungumzo na Wawakilishi wa Fei Toto ambapo kimsingi ‘tajiri amempa Fei ofa nono ya mshahara na dau la usajili

Hatua iliyobaki ni kukamilisha mazungumzo na Azam Fc ambayo bado inamkataba wa mwaka mmoja na Fei Toto ambaye alijiunga na timu hiyo misimu miwili iliyopita akitokea Yanga

Simba ina uhakika wa kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa msimu ujao na malengo ni kufanya vyema kama walivyofanya msimu huu katika michuano ya kombe la Shirikisho Simba ikitinga fainali ambapo itacheza na RS Berkane

Fei Toto amekuwa ‘injini’ ya Azam Fc katika misimu miwili akifunga mabao 23 na kutoa pasi 21 za mabao

Jean Charles Ahoua ndiye tegemeo katika la kiungo cha ushambuliaji cha Simba lakini ni wazi imeonekana eneo hilo linahitaji kuongezewa nguvu, Fei Toto ndiye kiungo bora wa ushambuliaji kwa sasa katika ligi kuu ya Tanzania.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!