MAGAZETI ya Leo Jumatano 09 April 2025

Filed in Magazeti, Michezo by on April 9, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Leo Jumatano 09 April 2025

Kiungo wa Klabu ya Yanga, Khalid Aucho atakuwa nje ya uwanja kwa takriban wiki tatu baada ya kupata Majeraha kwenye nyama za paja.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kiungo huyo amefanyiwa vipimo Leo ambapo imegundulika atakuwa nje kwa wiki tatu, kwa mujibu wa taarifa ambayo iliyotolewa na Klabu ya Yanga.

Aucho aliumia kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union ambapo nafasi yake ilichukuliwa na Mudathir Yahya.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *