MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumatano 05 January 2025

Filed in Magazeti by on February 5, 2025 0 Comments
     

MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumatano 05 January 2025

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri uwepo wa mvua kubwa na hali mbaya ya hewa katika mikoa tisa nchini hali hiyo ikitarajiwa kudumu kwa siku tano kuanzia Jumanne hadi Jumamosi.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kwa mujibu wa TMA, kutakuwa na upepo mkali wa kilomita 40 kwa saa katika ukanda wa pwani wa Bahari ya Hindi.

Taarifa hiyo iliyotolewa Jumanne ya February 4, 2025 inataja mikoa hiyo kuwa ni Rukwa, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi, Mtwara pamoja na Kusini mwa Mkoa wa Morogoro.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!