Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu 17 February 2025
Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu 17 February 2025
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki rasmi Sasa amefunga pingu za maisha na mwanamitindo Hamisa Mobetto.
Wawili hao wamefungishwa ndoa na Shekh Mkuu wa Dar es Salaam, Walid Alhad Omar na jopo mashekh wengine February 16,2025 katika Msikiti wa Masjid Nnuur uliopo Mbweni, Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza baada ya ndoa hiyo Shekh Walid amewatakia kheri wanandoa hao huku akisisitiza watu kuepuka zinaa.
Baada ya kufunga ndoa hiyo leo pia kutakuwa na sherehe nyingine itayofanyika February 19, mwaka huu kwenye ukumbi wa Superdome Masaki, Jijini Dar es Salaam.
Mapema Jana Hamisa alilipiwa mahari ya ng’ombe 30 na kiasi cha Sh30 milioni na Azizi Ki mahari iliyokabidhiwa na Rais wa Young Africans, Mhandisi Heris Said kwa niaba ya familia ya Stephen Aziz Ki.
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.
