MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Polisi 2025

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili jeshi la Polisi 2025
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Polisi 2025, Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Jeshi la Polisi 23/04/2025.
Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi
kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE – RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 asubuhi
hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.
Kwa wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya
Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa
Road.
Kwa wasailiwa wenye elimu ya kidato cha Nne na cha Sita usaili utafanyika
kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa waliyoichagua wakati wa kutuma
maombi.
Kwa wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Nne, usaili utafanyika Zanzibar ambapo kwa
walioko mikoa ya Unguja, usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani) na Mikoa ya Pemba usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).
Kila msailiwa atalazimika kufika eneo la usaili akiwa na vyeti halisi vya taaluma (Academic certificates), cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha Taifa cha NIDA au namba ya NIDA pamoja na nguo na viatu vya michezo.
Msailiwa atakayefika kwenye usaili baada ya tarehe 28/04/2025 hatapokelewa.
Aidha, orodha ya waliochaguliwa kufanya usaili imeambatishwa kwenye PDF hapa chini:
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili JESHI la Polisi 2025
majina ya waliochaguliwa kwenye usaili
Kidato cha nne
I’m live this aprication of police
Shaf
Is special fo me to show my information
Not comment
Majina ya usaili polisi
Kuangalia majina ya walioitwa kujiunga na jeshi la polisi
naomba wasimamizi wawe na huruma kwa upande wa mkoa wa simiyu
Mtwara
Selemani.bakari1
Mungu atusaidie
Majina yawalioitwa kwenye usaili
Love u
Comment pdf
Majina waliochagulia usaili police 2025
Elasto mussa Edward
Kwasie tuliokuahatumo tukawa namambo yote twatakiwa
Nimeona jina langu kwenye orodha ya walio chaguliwa kwenye usahili lakini sijapokea taarifa yoyote
Majina ya usahili
Mpumbiye sefu issa
Kwanini.mm pia jina langu lime canceliw..shida ipo wapi
Kwahiy0.shida ya mimi cunceliwa…ni imail yangu au
We are ready
Walioitwa kwny usahili dar es salaam wilaya ya kinondon wanaripoti wapi
Na jeshi la akiba wapewe nafasi za kazi kama police,magereza zima moto kwa ajiri ya kusaidia ajira kwa vijana
Mbona majina siyaoni tunayapateje Sasa.
Majin walio chaguliwa polis