MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Tume ya Utumishi Zanzibar 03/04/2025

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Tume ya Utumishi Zanzibar 03/04/2025
MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Tume ya Utumishi Zanzibar 03/04/2025
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana walioomba nafasi za kazi kwa upande wa Pemba katika Taasisi zifuatazo kuhudhuria usaili utakaofanyika katika Skuli ya Sekondari Fidel Castro iliyopo wilaya ya Chakechake Pemba.
Taasisi zenyewe ni:
- Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
- Ofisi ya Rais Ikulu
- Tume ya Utumishi Serikalini
- Kamisheni ya Ardhi.
Ratiba ya Usaili huo Pamoja na orodha ya Majina vimeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Tume ya Utumishi Zanzibar 03/04/2025
Your have done well but how to make application for all job