MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III A na B Mbeya City Council

MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III A na B Mbeya City Council
MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III A na B Mbeya City Council
Wasailiwa Wote Waliofaulu/ Waliochaguliwa Daraja III B Wanatakiwa Kuhudhuria Usaili wa Mahojiano ya ana Kwa ana Utakaofanyika tarehe 26/04/2025 Kuanzia Saa 02:00 asubuhi Katika Shule ya Sekondari Loleza.
Wasailiwa Wote Waliofaulu/ waliochaguliwa Daraja III A wanatakiwa kuhudhuria Usaili Wa Mahojiano ya ana Kwa ana Utakaofanyika tarehe 24/04/2025 Katika Shule ya Sekondari Loleza muda ni Kuanzia Saa 06:00 Mchana.
-
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO(ORAL III A)
-
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO (ORAL III B)
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: MATOKEO ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III A na B Mbeya City Council