MSIMAMO NBC Premier League 2024/2025

MSIMAMO NBC Premier League 2024/2025
MSIMAMO NBC Premier League 2024/2025
Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu NBC Premier League ni ligi ya kiushindani ya juu kabisa nchini Tanzania, ambayo inasimamiwa na Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF.
Ligi hiyo ilianzishwa mwaka 1965, kipindi hicho ikijulikana kama “Ligi ya Taifa”. Jina hilo lilibadilishwa kuwa “Ligi Daraja la kwanza” na tena ikabadilishwa kuwa Ligi Kuu mwaka 1997.
Kuanzia msimu wa 2018/19, ligi hiyo ina klabu 20 zilizocheza Mashindano hayo kwa mizunguko miwili.
Huu hapa Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, Yanga ipo nafasi ya ngapi?, Simba ipo nafasi ya ngapi?, Azam ipo nafasi ya ngapi? singida ipo nafasi ya ngapi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Azam ipo nafasi ya ngapi? singida ipo nafasi ya ngapi?, Huu hapa Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, MSIMAMO Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, MSIMAMO NBC Premier League 2024/2025, Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, Simba ipo nafasi ya ngapi?, Yanga ipo nafasi ya ngapi?