NAFASI 400 Za Madereva Benjamin Mkapa Foundation

NAFASI 400 Za Madereva Benjamin Mkapa Foundation
NAFASI 400 Za Madereva Benjamin Mkapa Foundation
Benjamin Mkapa Foundation Kupitia Ushirikiano na Kampuni yake Tanzu ya Imara Horizon, inatafuta Madereva 400 kwenda kufanya kazi nchini Qatar chini ya kampuni ya Mowasalat.
Faida:
✅Visa, nauli ya ndege, na gharama zote muhimu zitalipiwa kikamilifu.
✅Mafunzo ya kitaalamu ya udereva
✅Malazi, matibabu na bima ya maisha zitatolewa.
MUHIMU: Uombaji wa nafasi hizi hauhitaji malipo yoyote.
Usikose nafasi hii ya kubadilisha maisha yako kwa kazi ya kimataifa!
Mwisho wa Kutuma Maombi ni tarehe 30 Aprili 2025.
Ajira 400 Mpya Za Madereva wa Mabasi na Malori Makubwa Kutoka Benjamin Mkapa Foundation

NAFASI 400 Za Madereva Benjamin Mkapa Foundation
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Kwamajina naitwa yusuph mathias ni mkazi wa chato mkowa wa geita naoma kazi ya uderevq nina uzoefu zaidi ya nyaka 20 aina yote ya magali pia nifndi
Nina mafnzo yote naombakazi ya udereva mmi yusuph
Mmi yusuph ninaomba kazi ya udereva niko mkowa wa geita wilaya chato nidereva nina uzoef zaidi nyaka 20 naomba kazi
Yusuphmathismathias@gmail.com nidereva muzoevu naomba kazi Niko mkoa wa geita wilaya chato 0682767371
Mmi yusuph mathias nina omba kazi ya udereva mmi ni dereva mzoefu
Mmi yusuph mathias nina omba kazi ya udereva mmi ni dereva mzoefu magari aina zot2
Naomba kazi ya udereva nina uzoefu wa miaka 6 barabarani namba yangu 0623578899
naomba ajira ya udereva kutokana na uzoefu wangu wa miaka mingi katika kazi hii
Christopher feliciani saliboko
April 16,2025at11:37pm
YAH:MAOMBI YA KAZI ZA UDEREVA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni christopher feliciani saliboko.kijana mwenye uzoefu katika kazi hii ya udereva miaka kumi.na nipo makini sana na kujiamini katika kazi yangu kwa kufuata Sheria zote za barabarani.
Natumaini ombi langu litashughulikiwa.kwako katika ujenzi wa Taifa.
C.f.saliboko.
Christopher feliciani saliboko.
Namba ya simu:0654717117