NAFASI 50 Za Kazi Chiloha Executive Bus

Filed in Ajira by on April 11, 2025 17 Comments
     
NAFASI 50 Za Kazi Chiloha Executive Bus

NAFASI 50 Za Kazi Chiloha Executive Bus

NAFASI 50 Za Kazi Chiloha Executive Bus

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Chiloha Executive Bus inawatangazia Watanzania wote nafasi 50 nafasi za Ajira za Bus hostess (Muhudumu wa ndani), wakatisha Tiketi wa ofisini, na Makarani wa Mizigo (storekeeper).

Sifa za Jumla

  • Elimu kuanzia Kidato cha nne kuendelea.
  • Muonekano Mzuri kwa Bus hostess.
  • Uzoefu usiopungua mwaka mmoja.

Maombi yote yatumwe kwa Email

Muombaji atume Barua na Cv yake Manager
Chiloha Executive Bus
P.O.BOX 2098
Dodoma

Maombi yatakayowasilishwa kwa njia ya mkono hayatafanyiwa kazi, Mchakato wa ajira hauta husisha utoaji wa pesa atakaye bainika atahusishwa na Rushwa.

Mwisho wa Kutuma Maombi ni tarehe 29 April 2025.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Comments (17)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Joseph justice sanga says:

    Manager chiloha excacutive bus
    P.O.BOX 2098
    DODOMA

  2. Hansi mdee says:

    Habari za uzima mm naitwa Hansi mdee Nina miaka 29 elimu yangu F4 ninauzoefu na kazi kwa mwaka mmoja na nusu nikifanikiwa kupata kazi kwenye company yh Ako natafanya kazi kwa weledi na ushirikiani na wafanyakazi wezangu kwa heshima na tahadhima Asante

    • Omari says:

      Habari za uzima mm naitwa Hansi mdee Nina miaka 29 elimu yangu F4 ninauzoefu na kazi kwa mwaka mmoja na nusu nikifanikiwa kupata kazi kwenye company yh Ako natafanya kazi kwa weledi na ushirikiani na wafanyakazi wezangu kwa heshima na tahadhima Asante

  3. Hansi mdee says:

    Asalam aleykum meneja na wasimamizi wote wa kampuni ya chiloha kwa majina naitwa Hansi mdee ni kijana mwenye umri wa miaka 29 elimu yangu ni f4 kazi yangu ni kuhudumia abiaria ndani ya basi ninauzoefu wa mwaka mmoja na nusu nilikuwa naomba nafasi ya kazi je cv natuma kwa njia gani Asante

  4. Mariselina luvanga ninaomba nafasi ya kazi ya kukatisha tiketi ofisini ninaishi gongolamboto mushbah

  5. Jacob Joseph says:

    Naomba email ya chilova bus

  6. Jacob Joseph says:

    NAOMBA EMAIL YA CHILOHA BUS

  7. Ivon Twaha Muze says:

    Ivon Twaha Muze naomba kazi katika kampuni yenu ya chiloha executive bus naomba kazi ya ukatishaji ticket na waaid kua nitafany kaz kwa bidii na uaminifu pia
    Namatumain nitapat kazi katika kampuni yenu ya chiloha executive bus

  8. Shafi says:

    Shafi selemani juma Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 naomba kazi kwenye shirika lenu la chiloha executive bus nimesome ukatishaji tiketi za ndege pamoja na mabasi natumia maombi yangu yatapokelewa Asante wako mtiifu

  9. Mimi Ivon Twaha Muze naomba kazi katika kampuni yenu ya chiloh executive bus naomba kazi ya ukatishaji wa tickets za bus niahid nitafanya kwa uaminifu,juhud na nidhamu ya hali ya juu
    P.O.BOX 2098 DODOMA
    Natumain nitapat kazi katika kampuni yenu ya Chiloh Executive Bus.

  10. Shafi says:

    shafi selemani juma
    P.O.BOX.2098
    Dodoma.
    0684804554
    11.04.2025
    MANAGER CHILOHA EXECUTIVE BUS
    P.O.BOX 2098
    Dodoma
    YAH:MAOMBI YA NAFASI YA KAZI CHILOHA.
    EXECUTIVE BUS
    Mimi ni kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 20 naomba kazi kwenye shirika lenu la usafirishaji la chiloha executive bus ninauzoefu wa kukatisha tiketi natumia maombi yangu yatapokelewa
    Wako mtiifu
    ahasante
    S.s.juma

    CURRICULUM VITAE
    PERSON DETAILS
    JUMA
    SELEMANI
    JUMA
    SEX:MEN
    NATIONALITY: TANZANIA
    DATE OF BIRTH:15.05.2004
    MARITAL STATUS: SINGLE
    EMAIL: shafiseleman3@gmail.com
    MOBILE NUMBER:0684804554
    LANGUAGE: Swahili and English

    EDUCATION PROFILE
    FURAHIKA EDUCATION COLLEGE: CERTIFICATE OF AIR
    TICKETING SECONDARY SCHOOL
    MASANGE SECONDARY EDUCATION: CERTIFICATE.
    SECONDARY EDUCATION (CSEE)
    KWAYONDU PRIMARY SCHOOL: CERTIFICATE OF
    PRIMARY EDUCATION

    PERSONAL PROFILE
    .well experience in air ticketing issues
    . well experience in tourism issues and cultural heritage conservative and managing
    .am pleasant personality, energetion, proactive independent and self motivated
    . computer literate and computer maintenance

    EMPLOYMENT AND WORK EXPERIENCE
    Air Tanzania dodoma airport such as booking ticketing sending parcel and marketing materials.

    • Dickson Mshangi
      P.o.Box 256
      Dodoma 0678370182
      13/4/2025

      Manager chihola Executive
      P.o.Box 2098
      Dodoma

      Yah: OMBI LA KAZI
      Husika kichwa cha habari hapo juu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nna elim ya kidato cha nne, ninaomba kazi kwenye kampuni yako ya mabas nitafanya kazi kwa usafi na uaminifu
      Wako katika ujenzi wa taifa
      Asante

      D.Majura

      CURRICULUM VITAE
      PERSONAL DITAE
      Dickson
      Mshangi
      Majura
      Sex Men
      National Tanzania
      Education Form four
      Email dicksonmshangi@gmail.com
      Mobile phone 0678370182
      Language Swahili

      EDUCATION
      I have form four education from musoma mara and garage from dodoma veta.

    • SAMWELI BEZA MTIHANI
      P. O . BOX 9540
      DAR ES SALAAM
      17-04-2025.

      MANAGER CHILOHA EXECUTIVE BUS
      P.O.BOX 2098
      DODOMA
      17-04-2025.
      Yah:MAOMBI YA KAZI CHILOHA EXECUTIVE BUS
      Husika na kichwa Cha habari hapo juu
      Naitwa samweli beza mtihani Nina umri wa miaka 22 Naomba kazi kwenye kampuni ya chiloha bus Nina. Uzoefu wa kazi iyo elimu yangu ni kidato Cha nne pia ni fundi wa umeme wa magari nimesoma veta miaka miwili level ni NVA VC2 natumaini maombi yangu yatapewa mtazamo chanya

      Wako mtiifu.
      S.B.mtihani
      SAMWELI BEZA MTIHANI
      0621908187

      CURRICULUM VITAE
      Person details.
      SAMWELI
      BEZA
      MTIHANI
      Sex. Men
      Nationality. TANZANIAN
      Date of birth. 03-11-2002
      Mobile No. 0621908187
      Language. SWAHILI AND ENGLISH

      EDUCATION PROFILE
      Airwing vocational training collage. CERTIFICATE OF AUTO ELECTRICAL.
      Lilasia secondary school. CERTIFICATE OF SECONDARY (CSEE)
      Juhudi primary school. CERTIFICATE OF PRIMARY SCHOOL

      WORKING EXPERIENCE
      I Have experience.

  11. Bos naomba kaz kwenyekampuni yako ya bus mi nimachenics naweza kaz vizur San nilkua nakumba unisaidie nipate kaz kwenye kamuouni yako namba yangu 0757299760

  12. Yoel Nyoni says:

    Habari Mr/Mrs. Naitwa Yoel Nyoni napatikana kikuyu”dodoma”. Nafasi 50 ni nyingi sana naamini mimi ni mmojawapo kwakuwa ninauzoefu wa kazi za usafirishaji hasa abiria. Nipo tayari kufanya kazi kwenye kitengo chochote ilimradi niwe mtumishi wa kampuni yenu. Mawasiliano;0623150013. Asante.

  13. Shaban omari says:

    Shaban omari hemed nna miaka 22 elimu fom4 bahat mbsya nikaferi nilikuwa naomba kazi ya ukondakta au ushushaj mizigo tukiw safarin nikikosa ata uhudumu nilikuwa naomba mniajiri kweny kampuni yenu manager namba 0754594053

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *