NAFASI 800 Za Madereva Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu

Filed in Ajira by on May 11, 2025 3 Comments
     
NAFASI 800 za Madereva Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu

NAFASI 800 za Madereva Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu

NAFASI 800 za Madereva Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa Kushirikiana na kampuni tanzu ya Mkapa Foundation Imara Horizon, “Con- nect General Supplies Co. Ltd”, “Sassy Solutions Co. Ltd” pamoja na “Larali Global Solutions” inawatangazia Watanzania wenye sifa kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi 800 za fursa za Udereva zilizotangazwa na kampuni ya MOWASALAT ya nchini Qatar kama ilivyoelezwa hapa chini.

Waombaji wanapaswa kuwa na Umri Kuanzia Miaka 25-45.

Aina ya Ajira: Mkataba
Daraja la Leseni: Daraja C au E

SIFA MWOMBAJI

  • Awe na elimu ya kidato cha Nne na kuendelea.
  • Awe na uzoefu wa zaidi ya miaka 2 katika fani ya Udereva.
  • Awe na uwezo wa kuzungumza lugha ya Kingereza.
  • Mwenye uelewa na lugha ya kiarabu atapewa kipaumbele.

MAMBO MUHIMU

  • Mshahara utalipwa kulingana na Sera ya kampuni pamoja na sheria za nchi ya Qatar.
  • Gharama za matibabu kwa kipindi chote cha ajira zitakuwa juu ya muajiri.
  • Mwajiri atagharamia viza na tiketi ya ndege.
  • Mwajiri atagharamia malazi na chakula katika kipindi chote cha ajira.

Kutuma Maombi bofya link hizi: https://mkapafoundation.or.tz/index.php/international-career/
Simu Na. +255749639354,+255678203223,

https://www.manpower.cgs.co.tz
Simu Na. +255748882255,+255675899410

Sasysolution@gmail.com
Simu Na +255782821089/+255710882820

info@cgs.co.tz
info@larali.co.tz;
Simu Na. +255694521912

Baada ya kutuma maombi unapaswa kujisajiri hapa: https://jobs.kazi.go.tz
Simu Na. +255784301987

Mwisho wa Kupokea ni Maombi tarehe 16 Mei, 2025.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: , ,

About the Author ()

Comments (3)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Harrison Richard Timotheo says:

    Truck driver, Harrison Richard Timotheo leave at Mwanza 41 year’s experience in fuel and container logistics

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!