NAFASI Za Kazi ActionAid Tanzania

NAFASI Za Kazi ActionAid Tanzania
NAFASI Za Kazi ActionAid Tanzania
ActionAid Tanzania (AATZ) ni mwanachama mshiriki wa Shirikisho la Kimataifa linalofanya kazi na wanawake, wanaume, na watoto wanaoishi katika umaskini na kutengwa kutafuta ufumbuzi wa kuondoa umaskini na ukosefu wa haki.
AATZ imesajiliwa Tanzania Bara na imezingatia Sheria ya Jumuiya ya Zanzibar namba 6 ya mwaka 1995 na inawakilishwa katika Mkutano wa Kimataifa wa ActionAid.
ActionAid Tanzania inatafuta watu wenye nia, ari na sifa stahiki kujaza nafasi zilizoanishwa hapa chini kwenye PDF.
TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
