NAFASI Za Kazi Barrick Gold Mine

Filed in Ajira by on May 18, 2025 22 Comments
     
NAFASI Za Kazi Barrick Gold Mine

NAFASI Za Kazi Barrick Gold Mine

NAFASI Za Kazi Barrick Gold Mine

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mgodi wa dhahabu wa North Mara upo kaskazini-magharibi mwa Tanzania katika wilaya ya Tarime mkoani Mara.

Mgodi huo upo karibu kilomita 100 mashariki mwa Ziwa Victoria na kilomita 20 kusini mwa mpaka wa Kenya.

North Mara ilianza uzalishaji wa kibiashara mwaka 2002.

Mgodi huo ni pamoja wa shimo la wazi na uendeshaji chini ya ardhi kutoka kwa amana mbili, Gokona (chini ya ardhi) na Nyabirama (shimo wazi).

Timu ya Barrick North Mara inatafuta kuajiri Wafanyakazi Mbalimbali ili kujiunga na kukuza timu yetu, hivo unaweza kuona nafasi hizo Kwa kubofya Link hapa chini!

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Comments (22)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. naitwa emmanuel daudi petro n fund umeme na udereva npo mkowa wa simiyu wilaya meat naomba kaz hata ya kujitolea tu maana kaz n ngum kupata nilikuwa naombi ilo namba zang0620685968 0682897731

  2. Naitwa raphael timotheo yusuph ni fundi magari na nimesomea udereva naishi morogoro malinyi naomba nafasi ya kazi kati ya nafasi zilizotajwa hapo.
    Nimatumaini yangu kuwa ombi langu litapokelewa na kushughulikiwa.
    Namba zangu 0780360024/0656696084

  3. Jafeth akirwa sarakikya says:

    Naitwa Jafeth akirwa sarakikya nimesomea uasibu chuo cha uasibu Arusha Nipo dodoma Nilikuwa natafuta kzi yoyote hata kma ya uasibu amna ilimradi kzi maisha magumu my no 0672143883

  4. Steven tesha says:

    Steven tesha n operator wa excavetor nipo moshi apa

  5. Emmanuel Bosco lugwisha says:

    naitwa, EMMANUEL BOSCO natafuta kazi yeyote my phone no:0740656439

  6. Hellow naitwa walahi Mathias chananja kutoka KAHAMA nasoma chuo kikuu cha usimamizi wa fedha dar es salam ninaomba nafasi katika kampuni yenu kubwa ya barrik kama hamtojali ni na mimi niwe miongoni mwa timu yenu katika kukuza uchumi katika kampuni yenu asanteni

  7. Naitwa masoudy said mi nimachenics nilkua naitaji kaz namba yangu 0757299760

  8. Naitwa Bakari Bakari ni fundi magari naombo kazi katika kampuni yako pendwa m ni mkazi wa manyara ni na certificate y ufundi nina uzoefu wakutosha . Hivyo basi nitsfaaa katika kazi hiyoo mungu akubaliki.

  9. Kidanha lugugumila nyanza says:

    Naomba kazi fani yangu ni mwalimu wa sekondari elimuni diploma naomba kazi itakayopatikana hapo mgodini

  10. Kidanha lugugumila nyanza says:

    Namba yangu ya simu 0768865238 kidanha lugugumila nyanza

  11. Jetruda kambuga says:

    Naitwa jetruda kambuga naomba kazi ..namba 0655332833

  12. Jetruda kambuga says:

    Samaani Naitwa Jetruda kambuga naomba kazi namba 0655332833

  13. Sospeter says:

    Mimi naitwa sospeter petro zacharia nimhitimu wa chuo cha electronics engineering naomba kazi kwenye kampuni yenu niwe mmoja wenu AHSANTEN…

  14. Sospeter says:

    Mimi ni sospeter petro zakaria nimhitim wa chuo cha electronics engineering naomba kazi kwenu niwe miongoni kwenu AHSANTEN

  15. Sospeter says:

    Mimi naitwa sospeter petro zacharia nimhitimu wa chuo cha electronics engineering naomba kazi kwenye kampuni yenu niwe mmoja wenu AHSANTEN…0687555736

  16. Johnson Julius Magesa says:

    Naitwa Johnson Julius naishi Musoma Mara Nifundi Wa Umeme naomba kazi katika kampuni ya Barrick ili niweze kuongeza nguvu katika Group lenu namba yangu 0624737630

  17. Amiri says:

    Kwa majina naitwa Amiri Adam ni fundi wa umeme natafuta kazi yeyeto namba yangu ni 0654838699

  18. naitwa musa naomba kazi mm ni mwalimu naomba kazi hapo mgoni kwenu na mungu awabariki sana namba zangu 0757599725

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *