NAFASI Za Kazi EACOP – Bomba la Mafuta Ghafi

Filed in Ajira by on May 22, 2025 21 Comments
     
NAFASI Za Kazi EACOP - Bomba la Mafuta Ghafi

NAFASI Za Kazi EACOP – Bomba la Mafuta Ghafi

NAFASI Za Kazi EACOP, Ajira Mpya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni bomba litakalosafirisha mafuta yanayozalishwa kutoka maeneo ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi bandari ya Tanga nchini Tanzania ambapo mafuta hayo yatauzwa katika masoko ya Dunia.

Bomba hilo limezikwa na udongo wa juu na uoto ukishawekwa tena watu na wanyama wataweza kuvuka kwa uhuru popote kwa urefu wake.

Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), pia linajulikana kama Bomba la Mafuta Ghafi la Uganda–Tanzania (UTCOP).

Mradi huo unatangaza nafasi Mbalimbali za Ajira Kwa Watu wenye nia pamoja na sifa stahiki kama zilivyoainishwa hapa chini.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: ,

About the Author ()

Comments (21)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Mussa Menda says:

    Natamani Sana kufanya kazi kwenye mradi huu naombeni mniajiri Mimi ni fundi wa kuchomelea Nina uzoefu wa miaka 15 vipimo vyote vinavyo husika na chuma najua vyeti ninavyo kukagua najua nimesha wahi kufanya hiyo kazi hata kupiga rangi najua yangu nihayo tu

  2. Mrisho Jumanne says:

    Naitwa mrisho naomba kazi ya udereva ninauzoefu wa miaka 8 katika udeleva na cheti ninacho

  3. MUSSA KUGESHA says:

    Hizi nafasi ziko sehemu gani?

  4. Yusuph says:

    Nina itwa yusuph mathias ninauzoef wa kazi ya udeleva nina uzoef 15 nina omba kazi

  5. Yusuph says:

    Naitwa yusuph niko chato naomba kazi ya udereva kwenye muladi wa bomba nina uzoefu

  6. Simon says:

    Naomba kazi ninauzoefu wakufanya kazi hiyo Kwa miaka miwili

  7. Amran Hassani Maganga says:

    Naomba kazi ya ufundi bomba

  8. Gift lema says:

    Mimi ni fundi uashi naomba kazi katika mradi huu nipo Dsm nina uzoefu kwa miaka 13

  9. Tuheri giha says:

    Naitwa tuheri naomba nafasi ya customer care ninauzoefu wa miak titano naomben mniajir.nitafany vizur san

  10. Naitwa madracka mele nipo chalinze natafuta kazi ya ufund mechanic nauzoefu wa miaka 10

  11. Emmanuel says:

    Naomba kazi ya mechanics nimesoma veta singida miaka 3 level 3 pmoj na experience ya miaka mitatu kweny fundi naombe kazi

  12. Emmanuel says:

    Naombeni kazi experience miak 3 in mechanics , veta singida level 3

  13. Fanuel sadock Jacob says:

    Naitwa fanuel sadock Jacob nina umri wa miaka 30 sasa,ninaomba nafasi ya kazi maana ninauzoefu wa kazi na nimesomea WDMI na pia vyeti ninavyo.Ahsanteni sana
    Nitashukuru sana ombi langu likikubaliwa na kufanyiwa kazi.
    Wenu katika ujenzi wa Taifa f.jacob ,
    0782868122

  14. Naitwa David s mpuka
    Mimi ni dereva dampa pia ni oparater alf ni formen
    Nina uzoefu wa miaka zaid ya saba kiutendaji na uwongozi

  15. Naitwa tendi budeba ,naozoefu wa kufanya kazi hyo mwaka mmoja

  16. Naitwa tendi emmanuel nauzoefu wa kufanya kazi mwaka mmoja katika mradi huu

  17. Abuhurayra says:

    I need a job to your company

  18. KOMBO MZEE HAJI says:

    Niliwahi kufanya kazi katka kiwanda Cha nishati ya gesi LPG nikiwa Kama mzalishaji kwa kusindika gesi kwenye mitungi ya kupikia pamoja na kuweka gesi kwenye matangi makubwa yenye ujazo wa gesi zaidi ya tani ushirini
    Kwa uzoefu nilionao naamini naweza kufanya kazi vyema katika mradi wa mafuta ghafi
    Kutoka Zanzibar , Mimi Ni KOMBO HAJi

  19. Daud eugen daud says:

    Naitwa daud eugen daud mkazi wa dar essalaam natafuta kazi ya udereva Nina uzoefu wa miaka 12 namba yangu ya sim 0676518353

  20. Daud eugen daud says:

    Naitwa daud Eugen Mimi ninaumri wa miaka 37 ni dereva Nina uzoefu wa miaka 12
    Namba yangu ya sim 0676 518353

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *