NAFASI Za Kazi GSM Group Tanzania

NAFASI Za Kazi GSM Group
NAFASI Za Kazi GSM Group Tanzania
GSM Group Tanzania ni Kampuni ya Kitanzania inayoendeshwa na ubunifu wenye mgawanyiko wa biashara, usafirishaji, rejareja na mali ofisi, inayofanya kazi kote Afrika Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika, ukilenga kutoa bidhaa na huduma bora na kuunganisha biashara kwenye soko la Afrika.
GSM Group inafanya kazi katika sekta mbalimbali, ikiwa ni pamoja na biashara, viwanda, vifaa, rejareja na mali isiyohamishika.
GSM Group, kupitia GSM Foundation, imeshirikiana na CCBRT na Young Africans SC katika kampeni ya #MuwezesheAtembee kuchangisha fedha kwaajili ya matibabu ya kubadilisha maisha ya watoto.
GSM Group inatafuta watu wenye nia, ari na sifa stahiki kujaza nafasi za Ajira zilizoanishwa hapa chini;
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: NAFASI Za Kazi GSM Group, NAFASI Za Kazi GSM Group Tanzania
Hello sir/madam I would like to work with your company thanks
Any job
Your comments is awaiting moderation
Habari,nahitaji kazi katika kampuni yako
I need to work in your company
Hi:I need to work with you
Mm ni Rahim jumanne JONGO naomba nafasi ya kz aaana mtaan gumu Toka nimalize xhule ya secondary naomben nafasi ya kz….Naimnmungu atanisaidia..
Kazi
My name is festo Leonard i need job
My name JAMES RYOBA have education of the shipping and logistics management I can handle these works associate with transportation of goods an material handling.My hobby is to work with GSM COMPANY plz let go achieve the goals of the company for together
I need job is drive
Naitwa faidhi kutoka dar es salaam naomba kazi ya udereva
Hello sir/madam I would like to work with your company thanks
Hello sir/madam I would like to work with your company thanks
Any job b’couse honest and loyal and hardworking.
Thank you.
Hello sir/madam I would like to work with your company thanks
Any job b’couse honest and loyal and hardworking.
Thank you.
Reply
Naitwa King styve naishi Buguruni,ni kijana wenye miaka 33 naitaji kazi
Habari kiongozi naomba kazi katka kampuni yako
Mimi Suzana Lazaro Habari kiongozi naomba kazi katka kampuni yako Mimi nipo Dodoma .
I NEED A JOB ON POST OF SALES , I HAVE DIPLOMA EDUCATION FROM TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY. DIPLOMA IN PROCUREMENT AND LOGISTICS MANAGEMENT.
Naitwa Leone Paul Mero naomba nafasi ya udereva katika kampuni yenu pia ninauzoefu wa kundesha magari ya ain yote pia nitatoa ushirikiano mzuri katika kampuni yenu, Natumain ombi langu litapokelewa.
Kwako katika ujenzi wa taifa
No.0623695549/0789285543
Leone Paul Mero
Naitwa Joshua timotheo shija, natokea dar es salaam nilikuwa naomba kazi kwenye kampuni yako.
HABARI NAITWA REHEMA MOHAMED AMLIMA.NAOMBA NAFASI YA ULINZI KATIKA KAMPUNI YENU.NATUMAI OMBI LANGU LITAFANYIWA KAZI.AHSANTE
Naitwa madracka mele nipo chalinze natafuta kazi Mimi ni dereva nani fund mechanic kazi yoyote nafanya
Mimi ninaomba kazi katika kampuni yenu
Naitaji kufanya kazi kwenye kampun gsm
Naitw jeremiah kasej nipo mkoani geita nina umri miaka 21 Naomba kupapewa kazi katika kampuni ya gsm
Naitw jeremiah kasej nipo mkoani geita nina umri miaka 21 Naomba kupewa kazi katika kampuni ya gsm ningependa kujua vitengo vya kazi
I NEED A JOB ON POSITION OF ICT I HAVE BACHELOR DEGREE FROM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT IFM