NAFASI Za Kazi ICAP Tanzania

NAFASI Za Kazi ICAP Tanzania
NAFASI Za Kazi ICAP Tanzania
ICAP (zamani Kituo cha Kimataifa cha Mipango ya Utunzaji na Tiba ya UKIMWI) ni shirika la afya Duniani ambalo limekuwa likifanya kazi nchini Tanzania tangu mwaka 2004 ili kupunguza maambukizi ya VVU wakati wa kujifungua na kusaidia kuongeza matunzo na matibabu ya VVU.
Wanafanya kazi kwa ushirikiano na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya Tanzania (MOHSW), wakitoa msaada wa kujenga uwezo na usaidizi wa kiufundi kwa programu za kitaifa za VVU na TB.
ICAP Tanzania inatafuta watu wenye nia, ari na sifa stahiki kujaza nafasi zilizoanishwa hapa chini.
TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.
