NAFASI Za Kazi UTUMISHI

Filed in Ajira by on June 14, 2025 1 Comment
     

NAFASI Za Kazi UTUMISHI, Ajira Mpya Serikalini

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara inayojitegemea iliyoanzishwa mahususi kuwezesha mchakato wa kuajiri watumishi katika Utumishi wa Umma.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Chombo hiki kilianzishwa kwa Sheria ya Utumishi wa Umma namba 8 0f 2002 iliyorekebishwa na Sheria namba 18 ya mwaka 2007, kifungu cha 29(1).

Dhamira yake ni kufanya uajiri wa watumishi wa Umma kwa kutumia mbinu za kisasa kwa kuzingatia misingi ya usawa, uwazi na stahili pamoja na kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala ya ajira.jinsi ya kupata laki tatu kesho

Rasilimali watu ni kigezo muhimu katika utoaji wa huduma za umma, hivyo basi, PSRS imepewa jukumu la kuajiri watumishi wa umma kwa haki, uwazi na kwa wakati; huku tukiangalia na kuhakikisha ubora na upatikanaji kwa waombaji wote ili kutoa huduma yenye usawa nchini Tanzania.

Lengo lake ni kuboresha Utumishi wa Umma wa Serikali kuhusu masuala yanayohusu mchakato wa kuajiri Kulingana na sheria na kanuni zetu na wakati huo huo kuimarisha uhusiano mzuri na wadau wetu.

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha maombi ya Watanzania wenye nia kujaza nafasi mpya kama ilivyoanishwa hapa chini;

  • BOFYA HAPA KUPATA AJIRA ZOTE ZA SERIKALINI
  • BOFYA HAPA KULOGIN AJIRA PORTAL
  • BOFYA HAPA KUJISAJILI AJIRA PORTAL
  • KUONA AJIRA ZINGINE, WALIOITWA KAZINI NA WALIOITWA KWENYE USAILI TAFADHALI BONYEZA HAPA

AJIRA MPYA KILA SIKU BOFYA HAPA

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: , ,

About the Author ()

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Charles says:

    CHARLES LEONARD NYAMBARYA,
    S.L.P ,0613257660
    DAR ES SALAAM,PUGU BOMBANI
    23/5/2025.
    MKUU WA UTUMIMISHI MAKAO MAKUU YA JESHI,
    S.L.P 194,
    DODOMA.
    NDUGU MUHESHIMIWA.
    YAH:MAOMBI YA KUJIUNGA NA JESHI LA WANAINCHI TANZANIA.
    Husika na kichwa cha cha habari.MimiCharles Leonard nyambarya mwenye umri wa miaka 24.nimehitimu kidato cha nne 2018 nakupata ufaulu mzuri.Dhumuni la barua hii nikuomba nafasi ya kujiunga na jeshi la wananchi
    jwt nakulitumikia kwa uamnifu mzuri bila kuzivunja sheria za jeshi kwa kuwa mzalendo, kulijenga na kulitunza taifa langu:
    Wako mtiifu katika ujenzi wa Taifa,
    Charles.L.Nyambarya

    Namba ya simu-0613257660
    charlesleonard636@gmail.com

    Ni matumaini yangu kuwa maombi yangu yatapokelewa
    Majukum mema Ahsante..

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!