NAFASI Za Madereva Kagera Sugar Limited

NAFASI Za Madereva Kagera Sugar Limited
NAFASI Za Madereva Kagera Sugar Limited
Kampuni ya Sukari ya Kagera inawatangazia Watu wote wenye uwezo na Sifa Kutuma Maombi Kwa Kazi Za Udereva wa Magari Madogo
Mwombaji awe na Sifa Zifuatazo:
- Awe na Elimu ya Udereva Kutoka Chuo Kinachotambulika.
- Awe na Vyeti Halisi vya Udereva Vilivyohakikiwa (Certified Certificate)
- Awe na Leseni Daraja D Iliyothibitishwa
- Awe na Uzoefu wa Kazi ya Udereva Kuanzia Muda wa Miaka Mitano na Kuendelea.
- Awe Raia wa Tanzania.
- Awe Hajawahi Kufukuzwa ama Kuachishwa Kazi Kimakosa.
- Awe na Kitambulisho Cha NIDA Pamoja na TIN namba vilvyo Hakikiwa (Certified NIDA and TIN Number)
Maombi yote yawasilishwe Katika Ofisi ya Ajira Kagera Sugar au yatumwe Kwa Barua pepe recruitment@kagera-sugar.co.tz
Mwisho wa Kupokea Maombi haya ni tarehe 14/04/2025
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

I would like to join in your company as a driver
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu
Kagera Sugar Limited
S.L.P 14146
Kagera, Tanzania
YAH: MAOMBI YA KAZI YA UDEREVA
Ninayo heshima kuwasilisha maombi yangu ya kazi ya udereva katika kampuni yako. Nina uzoefu wa udereva wa miaka 7 na ninamiliki leseni daraja C1 C2 C3 E F G ambayo inaniruhusu kuendesha aina mbalimbali za magari.
Katika kazi zangu za awali, nimefanya kazi Silverleaf academy. KRUPA PATEL ambapo nilikuwa na jukumu la kusafirisha bidhaa na wafanyakazi kwa usalama na kwa wakati. Nina ujuzi mzuri wa kufuata sheria za barabarani, matengenezo ya msingi ya gari, na kuheshimu muda wa kazi.
Nina nidhamu, uaminifu, na uwezo wa kufanya kazi kwa bidii ili kuhakikisha huduma bora kwa kampuni. Naomba nafasi ya kufanya kazi na timu ya Kagera Sugar na kuchangia mafanikio yake.
Nimeambatanisha nakala ya leseni yangu ya udereva pamoja na vyeti husika kwa ajili ya marejeleo. Naomba nafasi ya mahojiano ili kueleza zaidi uwezo wangu.
Ninatumai maombi yangu yatazingatiwa kwa upendeleo. Nashukuru kwa muda wako na naomba ushauri wenu zaidi.
Wako mwaminifu,
Sisty Massawe
Sistymassawe19@gmail.com
0756 756187
Tuma Maombi kwenye email iliyoambatanishwa kwenye Tangazo
Nuruel Paul Njau
April 4/4/2025
Mkurugenzi wa Rasilimali watu
Kagera Sugar Limited
S.L.P 14146
Kagera, Tanzaniani
YAH:MAOMBI YA KAZI UDEREVA
Husika na kichwa Cha barua tajwa hapo juu.
Mimi Naitwa Nuruel Paul Njau Ni Kijana wa Kitanzania
Mwenye umri wa miaka (27) Natumia Fursa hii kuomba
Kazi ya Udereva Katika Kampuni yako/yenu Kwani Nina
Uzoefu Mkubwa na wakutosha Katika sekta hii kama
Ilivyoanishwa Kwenye Leseni yangu.
Hivyo Natumaini maombi yangu yatapokelewa na nitapata nafasi katika Kampuni yako/yenu.
Wako katika Ujenzi wa Taifa
By
Nurue Paulo njau
No:0675608013
Christopher FELICIANI SALIBOKO
April 13,2025at 11:25 pm
Mkurugemzi wa rasilimali watu
S.L.P 14146
Kagera tanzania
YAH:MAOMBI YA KAZI UDEREVA
Husika na kichwa Cha barua tajwa hapo juu.
Mimi naitwa christopher feliciani saliboko ni kijana wa kitanzania
Mwenye umri wa miaka(35) natumia fursa hii kuomba
Kazi ya udereva katika kampuni yako/yenu kwani Nina
Uzoefu mkubwa na wakutosha katika sekta hii kama
Ilivyoainishwa kwenye lesseni yangu.
Hivyo Natumaini maombi yangu yatapokelewa na nitapata
Nafasi katika kampuni yako/yenu.
Wako katika ujenzi wa Taifa
By
Christopher feliciani saliboko
No:0654717117
Christopher feliciani saliboko.
April 14,2025 1:40am
Mkurugenzi wa rasilimali watu
S.L.P14146
Kagera Tanzania
Ndugu,
YAH:MAOMBI YA KAZI YA UDEREVA
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni christopher feliciani saliboko.kijana mwenye umri wa miaka(35) naomba nafasi ya kujiunga katika kampuni yako/yenu(Kagera sugar) Nina uzoefu katika kazi hii ya udereva nipo makini sana na kujiamini katika kazi yangu kwa kufuata Sheria zote za barabarani.
Natumaini ombi langu litashughulikiwa
Kwako katika ujenzi wa Taifa.
By
Christopher feliciani saliboko
0654717117
.