Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

Filed in Michezo by on February 1, 2025 0 Comments
     
Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Klabu ya Singida Black Stars imetangaza kufikia makubaliano na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco ya kuwauzia Mshambuliaji wa Selemani Mwalimu kwa mkataba wa moja kwa moja kwa dau ambalo hawajaweka wazi (undisclosed fee).

Taarifa iliyotoleaa na Klabu hiyo January 31, 2024 imebainisha kuwa sehemu ya makubaliano hayo ni klabu hiyo kunufaika na asilimia 10% ya mauzo ya baadae (sell-on) endapo Wydad AC itamuuza kwenda klabu nyingine.

VIDEO ZA WAKUBWA TU MIAKA 18+

Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

Selemani Mwalimu auzwa Wydad Casablanca

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!