TAARIFA Muhimu Kwa Wasailiwa wa tarehe 23, 24 na 24 April 2025

Filed in Usaili by on April 19, 2025 0 Comments
     
TAARIFA Muhimu Kwa Wasailiwa wa tarehe 23, 24 na 24 April 2025

TAARIFA Muhimu Kwa Wasailiwa wa tarehe 23, 24 na 24 April 2025

TAARIFA Muhimu Kwa Wasailiwa wa tarehe 23, 24 na 24 April 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Waombaji Kazi Mlioitwa Kwenye Usaili Kwa tarehe 23, 24 na 25 Aprili 2025 Mnatakiwa Kuzingatia Kanda Za Kufanyia Usaili Kama zilivyooneshwa kwenye tangazo la Vituo Vya Usaili.

Wasailiwa wote mlioitwa kwenye usaili wa tarehe 23 hadi 25 Aprili 2025, mnatakiwa kuingia kwenye akaunti zenu za AJIRA PORTAL katika eneo la PERSONAL DETAILS na kisha angalia eneo la CURRENT RESIDENT REGION – Mkoa unaoonekana hapo ndio utaamua ni kanda ipi utafanyia usaili.

Mfano; Kama upo Mkoa wa Dar es Salaam, Morogoro, Pwani, Lindi na Mtwara usaili wako utafanyia Mkoa wa Dar es Salaam.

Na kama upo Mkoa wa Mbeya,
Songwe, Rukwa, Katavi, Ruvuma na Njombe usaili wako utafanyia Mkoa wa
Mbeya.

Hakikisha unakwenda kwenye Kanda yenye Mkoa wako, Mpangilio wa
mgawanyo wa kanda, vituo vya usaili kwa kada na mikoa yake upo kwenye
tovuti ya www.ajira.go.tz.

Kwenda katika kituo (Mkoa) tofauti na kanda yako HAUTAWEZA KUFANYA USAILI.

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *