Utaratibu wa kujiunga na JWTZ

Utaratibu wa kujiunga na JWTZ
Utaratibu wa kujiunga na JWTZ
Kupitia Makala hii utaweza kufahamu utaratibu wa Kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mtu yeyote ataandikishwa kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sifa zifuatazo: –
- Awe raia wa Tanzania
- Awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea na awe amefaulu..
- Awe hajaoa/hajaolewa
- Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 25
- Awe na tabia na mwenendo mzuri
- Awe na akili timamu na afya nzuri
Masharti ya Utumishi
- Askari atapewa nambari ya utumishi baada ya kufaulu mafunzo ya awali.
- Atalitumikia Jeshi kwa kipindi cha mwanzo cha miaka sita, baada ya hapo atafanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili miwili kwa kibali cha Mkuu wa Majeshi.
Maafisa
- Bodi ya Uteuzi wa Maafisa (Officers Selection Board) huwafanyia usaili Askari wenye elimu ya kidato cha sita na kuendelea toka Vikosini na Shule za Askari wapya (Recruitment Schools).
- Watakaofaulu masailiano hayo hupewa hadhi ya Afisa Mwanafunzi (Officer Cadet), na hupelekwa Chuoni (Tanzania Military Academy) kwa mafunzo ya Uafisa kwa muda wa mwaka mmoja.
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Thanks