Viingilio Yanga vs Singida Black Stars 17 February 2025

Viingilio Yanga vs Singida Black Stars 17 February 2025
Viingilio Yanga vs Singida Black Stars 17 February 2025
Viingilio vya mchezo unaofuata wa Yanga SC dhidi ya Singida Black Stars Jumatatu ya February 17, 2025.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kwenye uwanja wa KMC Complex Kuanzia Saa 10:00 Jioni, ukiwa ni mchezo wa ligi kuu ya NBC 2024/2025.
Viingilio vya mchezo huo vimetajwa kuwa ni 20,000 Kwa VIP na 10,000 kwa Mzunguuko.
Vituo vya kuuzia tiketi hizo ni kama vilivyoorodheshwa hapa chini!

Vituo vya tiketi Yanga vs Singida Black Stars 17 February 2025
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Viingilio Yanga vs Singida Black Stars 17 February 2025