Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025 Mkoa wa Arusha

Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025 Mkoa wa Arusha
Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025 Mkoa wa Arusha
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTVET) inatarajiwa kutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano kwa mwaka 2025.
Ikiwa umemaliza Kidato cha Nne mwaka 2024 Mkoa wa Arusha na ulifanya uchaguzi wa tahasusi kupitia mfumo wa Selform TAMISEMI, utakuwa na fursa ya kuangalia matokeo yako mara yatakapotangazwa rasmi.
Kuangalia Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025 Mkoa wa Arusha Bonyeza hapa chini.
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025 Mkoa wa Arusha