Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Kilosa District Council

Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Kilosa District Council
Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Kilosa District Council
Wafuatao wamechaguliwa na kuitwa kwenye mafunzo ya watendaji wa Vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura yatakayofanyika tarehe 26.02.2025 hadi 27.02.2025 kuanzia saa 1.30 asubuhi katika vituo vya mafunzo vifuatavyo:
Kituo cha mafunzo Kilosa: Watakaohusika ni kutoka Kasiki, Magomeni, Mkwatani, Mbumi, Chanzuru, Madoto, Kimamba A, Kimamba B, Parakuyo, Rudewa, Lumbiji, Kidete, Lumuma, Mhenda, Ulaya, Zombo, Masanze, Kilangali, Mabwerebwere na Tindiga. Ukumbi Chuo cha walimu (TTC) llonga.
Kituo cha Mafunzo Dumila: Mvumi, Msowero, Kitete, Dumila, Mbigiri, Magole, Magubike, Maguha, Mabula, Berega, Mamboya na Mtumbatu. Ukumbi ni Shule ya Msingi Fransalian
Kituo cha Mafunzo: Kisanga, Ulelingombe, Malolo, Mikumi, Kidodi, Ruaha, Vidunda na Ruhembe. Veta Mikumi
Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini imeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Kilosa District Council