WALIOITWA Kazini Wizara ya Afya Machi 2025

Filed in Kuitwa Kazini by on March 15, 2025 0 Comments
     
WALIOITWA Kazini Wizara ya Afya Machi 2025, Kuitwa Kazini Programu ya TMCHIP, Kuitwa Kazini Programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania.

WALIOITWA Kazini Wizara ya Afya Machi 2025

WALIOITWA Kazini Wizara ya Afya Machi 2025, Kuitwa Kazini Programu ya TMCHIP, Kuitwa Kazini Programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika Programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (Tanzania Maternal and Child Health Investment Program (TMCHIP) waliowasilisha maombi ya ajira kwa
nafasi mbalimbali za kada za afya katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024
kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombaji
wote waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauri walizopangiwa.

TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA MACHI 2025

Orodha ya majina ya Waombaji waliopangiwa Vituo vya Kazi Pamoja na Maelekezo vimeambatanishwa kwenye PDF hapa chini.

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!