Walioitwa Kwenye Usaili Ajira Za INEC Ilala Municipal Council

Walioitwa Kwenye Usaili Ajira Za INEC Ilala Municipal Council
Walioitwa Kwenye Usaili Ajira Za INEC Ilala Municipal Council
Afisa Mwandikishaji Wa Jimbo La Ilala,
Segerea Na Ukonga Anawajulisha Kuwa
kutakuwa na usaili kwa Waandikishaji Wasaidizi Na Waendasha Kifaa Cha BVR Kwaajili Ya Zoezi La Uboreshaji Wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kuraa.
Usaili Utafanyika Siku Ya Jumamosi Tarehe 01/03/2025 Saa 3:00 Asubuhi Katika Ukumbi wa ARNATOGLOU.
Orodha Ya Walioitwa kwenye Usailii BVR imeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: Walioitwa Kwenye Usaili Ajira Za INEC Ilala Municipal Council