WALIOITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025

WALIOITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025
WALIOITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025, Kuitwa Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Machi 31, 2025.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anapenda kuwatangazia kuwa vijana waliomba ajira ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kupitia mfumo wa ajira ZIMAMOTO RECRUITMENT (ajira.zimamoto.go.tz), Usaili utafanyika kuanzia tarehe 05 Aprili, 2025 hadi tarehe 17 Aprili, 2025 kuanzia saa 1:00 Asubuhi kwa kila kundi.
Waombaji waliomba ajira kwa elimu ya kidato cha nne usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 05 hadi 09 Aprili, 2025 saa 1:00 Asubuhi kwenye mikoa walioichagua wakati wa kutuma maombi.
Waombaji wenye elimu ya Shahada na taaluma mbalimbali usaili wao utafanyika katika Ukumbi wa Andengenye Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Dodoma kuanzia tarehe 14 Aprili hadi 17 Aprili, 2025, saa 1:00 Asubuhi kwa kila kundi.
Zingatia yafuatayo:
- Kila mmoja anatakiwa kufika kwenye usaili siku na tarehe aliyopangiwa na si vinginevyo.
- Kuwa nadhifu na kuvaa mavazi ya staha.
- Kufika na vyeti vyote halisi vilivyotumika kwenye maombi ya ajira kama vile cheti cheti cha Kidato cha nne, Kidato cha sita, Cheti cha taaluma, cheti cha kuzaliwa, pamoja na Kitambulisho cha Taifa au Namba ya kitambulisho cha Taifa (NIDA)
- Kwa walioomba nafasi ya Udereva pamoja na maelekezo hayo wanatakiwa kuja na leseni halisi ya udereva Daraja E.
- Gharama za usafiri, chakula na malazi ni juu ya msahiliwa mwenyewe kwa muda wote utaotumika kwa ajili ya usaili.
- Vijana watako fanya usaili Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wazingatie tarehe zao za usaili, kijana atayekuja tarehe ambayo hajapangiwa hatapokelewa.
Orodha ya Vijana waliochaguliwa kufanya usaili pamoja na makundi hayo imeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;
Je, Unatafuta Nafasi za kazi?Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA
JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: WALIOITWA Kwenye Usaili Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 2025
Hii taarifa ina ukweli au ni uzushi mbona taarifa haifunguki na wapi mmetoa hii taarifa
Tunaomba msaada wa Majin maana huku kwenye ximuyangu naona giza tupu
Majina yapo kwenye PDF, shuka mpaka mwisho wa Tangazo hili angalia PDF Donwload kama wewe ni Taaluma Mbalimbali au Kidato Cha Nne.
Na ile mikoa iliyopo mbele ya majina ndo sehemu ya kufanyia usaili?
Mkoa ulioujaza kuwa unaishi ndio Mkoa unaofanyia Usaili
Naipenda san
Kazi
Tafadhari maana wengine shida imel mfano mzur mm mwenyew nirijisahau nikatumia imeli ambayo siyo yangu tafadhari tunaomba kama kunahuwezekano wa Majin tafadhari
Majina yapo kwenye PDF, shuka mpaka mwisho wa Tangazo hili angalia PDF Donwload kama wewe ni Taaluma Mbalimbali au Kidato Cha Nne.
Am Reginald
Orodha ya majina ya usaili wa zima moto
zimamoto na uokoaji results
Way of look name
ASA mbona hakuna tarehe inaonesha siku ya kufanya interview Kwa wasailiwa wa kidato Cha nne
Tarehe zipo soma Tangazo husika Rudi juu soma vizuri imeonesha Kwa Kidato Cha Nne na Taaluma Mbalimbali siku za Usaili
Kwaiyo wote tunaenda tarehe 5 au unaamua unaenda tarehe yoyote kabla ya tarehe ya mwisho
Nenda siku ya kwanza ili upate maelezo zaidi
Ni tareh 5/4 mpaka tareh 9/4
Jmn watu wamepangiwa mikoa hawajui pakufanyia usaili niwapi panakuaje apo napo
mbona majina hatuyaoni jamani
Shuka mpaka mwisho wa Tangazo Majina yapo kwenye PDF
Me nataka kujua waliochaguliwa wanaenda lini
sioni majina mbn
Shuka mpaka mwisho wa Tangazo Download PDF zipo hapo
Sasa tunajuwaje siku ya kwenda kila 1 au tunaenda wote hiyo tarehe 5 had hiyo tarehe 9
Nenda siku ya kwanza ili upate maelezo zaidi
Ivi kweny mavazi hapo mnashauli tuvaaje
Maana mtu unaweza kuvaa ndivyo sivyo ukatimuliwa
wote tunaenda kwa pamoja tarehe 5 had ifike tarehe 9 au kila 1 amepangiwa tarehe yake
Itakuwa vema kama utaenda tarehe 5 siku ya Kwanza ili upate maelezo zaidi.
Du watu wagumu kuelewa aloo,kweli bongo nyoso.Mbona maelezo yako clear tu
Mimi naomba nijue mfano nimeona nimepangiwa kinondoni sasa hapo kinondoni ni sehemu gani harimashuauri au kinondoni sehemu gani maana pameandikwa tu kinondoni na kinondoni ni kubwa sana
Ulizia Zimamoto Kinondoni
Naomb location plzzz wa dar es salaam nimeambiwa temeke but temeke where???
Mbona majina waliofanikiwa usahili hayatoki ama teyali m sjaona