WALIOITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano TRA 2025

Filed in Usaili by on April 27, 2025 5 Comments
     

WALIOITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano TRA 2025

WALIOITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano TRA 2025WALIOITWA Kwenye Usaili wa Mahojiano TRA 2025, Matokeo ya Usaili wa Mchujo wa Kuandika Ajira Za TRA 2025.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifu wasailiwa wote waliofanya usaili wa kuandika tarehe 29 na 30 Machi, 2025 katika vituo tisa (9) vilivyokuwa vimeandaliwa hapa Nchini kwamba matokeo ya usaili huo yamekamilika.

Matokeo hayo yanaonesha namba ya mtihani na matokeo aliyopata msailiwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inawashukuru wasailiwa wote kwa kuonesha nia ya kuitumikia Mamlaka na kuwatakia kila la kheri wote waliofaulu na kuchaguliwa kwenda katika hatua zinazofuata.

Kuona Matokeo hayo tafadhali Donwload PDF hapa chini.

TAZAMA AJIRA ZOTE TANZANIA

Je, Unatafuta Nafasi za kazi?
Jiunge na Watanzania wengine Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku Kutoka Serikalini pamoja na Makampuni Mbalimbali.
Kupata Matangazo ya Ajira Kila Siku ni bure kabisa, JIUNGE HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Tags: ,

About the Author ()

Comments (5)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. Marked, always have a good

  2. Janeth John kirigiti says:

    Sijaridhishwa na matokeo

  3. Janeth John kirigiti says:

    Naomba mpitie kusahihisha upya, sijaridhishwa na matokeo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!